Pale nchi ya Kenya kuna matatizo kuhusu uteuzi wa rais Kenya. Baada ya uchaguzi watu wawili, Mwai Kibaki na Raila Odinga wanasema yeye mwenyewe ni rais!
Unafikiri nini ni njia bora kwa Kenya kuchukua kunia shida hii, na kwa nini unafikiri wazu huu?
Thursday, January 24, 2008
Wednesday, January 16, 2008
Cultural Presentation
Tafadhali andika wazo zao kuhusu Cultural Presentation kabla ya darasa Alhamisi.
Asante, Zuri
Asante, Zuri
Saturday, January 12, 2008
Uteuzi wa Mgombea wa Urais Marekani
Hamjambo?
Ningependa kusikia maoni yenu kuhusu mada hiyo hapo juu. Kwa wakati huu wanasiasa wengi wa Marekani wanataka kura ili kuchaguliwa kuwa wagombea wa urais wa vyama vyao (Wanademokrasia-Democrats na Wanajamhuri-Republicans). Kwa maoni yako ni nani watateuliwa (will be nominated) na unafikiri ni kwa nini?
Ningependa kusikia maoni yenu kuhusu mada hiyo hapo juu. Kwa wakati huu wanasiasa wengi wa Marekani wanataka kura ili kuchaguliwa kuwa wagombea wa urais wa vyama vyao (Wanademokrasia-Democrats na Wanajamhuri-Republicans). Kwa maoni yako ni nani watateuliwa (will be nominated) na unafikiri ni kwa nini?
Subscribe to:
Posts (Atom)