Sunday, May 10, 2009
Hadithi Nzuri Kutoka Wikendi Ya Mwaka Huu
Hamjambo wote! Habari za wikendi yenu? Nilienda mji wa San Francisco kukutana na rafiki yangu mpya -- Sabbo. Yeye ni DJ kutoka mji wa Tel Aviv. Kwa sababu nilijifunza kufanya kazi ya DJ wakati nilisoma mji wa Oxford pale Uingereza, nilifurahia sana kukutana Sabbo Alhamisi iliyopita katika karama huko San Francisco. Anakaa hapa (San Francisco) kwa miezi miwili kwa Lebo ya Record yake. Anafanya kazi ya DJ katika karamu mbalimbali mjini mpaka kati ya Juni. Tulizungumza kidogo na nilimwliza ikiwa niliweza kutumia vifaa vyake kuboresha uzoefu (skills) wa DJ wangu. Alikubali, na Jumamosi, Sabbo aliniruhusu kucheza na vifaa vyake and kuchanganya nyimbo pamajo. Kila wakati nina nafasi kufanya kazi hii, kweli nafurahia sana. Si rahisi - unahitaji kufikiri nyingi and kuweza kusikiliza nyimbo mbili kwa wakati mmoja (at the same time). Lakini unapopita curve ya ujifunzo, ni safi sana kwa sababu unaweza kuwa na karamu nzuri na kuwastarehesha watu wengi! Ikiwa sikuhitaji kutengeneza pesa kuishi, nafikiri ningenunua vifaa na ningejifunza kuwa DJ safi sana. Hii ingekuwa mradi wa mmoja kwa sababu pia ningependa kujifunza kutoa muziki, kama DJ za Diplo, Girl Talk, Sabbo, kadhalika. Sabbo nami tulikuwa marafiki haraka na nitarudi San Francisco wiki hii kuchill naye zaidi. Pia - nilijifunza asubuhi kutoka rafiki yangu ambaye anatoka Israel kwamba Sabbo ni mtu maalum sana huko. Ana kundi linaitwa "Soulico" na wanamaliza CD ya kwanza wao siku hizi. Je, mna hadithi safi sana kuhusu wikendi iliyopita? Labda hakuna hadithi kutoka wikendi hii, lakini pengine kuna hadithi kutoka wikenda ya mwaka huu ambazo hamkuambia?
Sunday, April 26, 2009
Riwaya ambazo mngependekeza
Hamjambo wote? Natumaini mlikuwa na wikendi nzuri. Kwa mada ya blogu yangu, ningependa kuzungumza kuhusu riwaya ambazo mnazopenda bora zaidi, na pia kuhusu riwaya mmeshamaliza au mnasoma sasa ambazo mngependekeza. Sasa nasoma riwaya ambayo inaitwa "Midnight's Children." Mwandishi ni Salman Rushdie, na ana mtindo maalum sana ambaye unaungana sehemu za historia na za uchawi pamoja. Ndani ya hadithi yake, kuna watu wa wageni sana, na vitu vinaweza kupita ambazo vinatufumba kabisa kama wasomaji. Hadithi hiyo inafuata maisha ya mmoja ambaye alizaliwa tarehe na dakika kamila Bara Hindi iliposhinda uhuru kutoka Uingereza. Kwa sababu ya uzaliwa wake maalumu, herufi huyu ana nguvu maalum pia -- na ana kuru ambayo inafanana na kuru ya Bara Hindi zima yenyewe. Ingawa sijamaliza bado, ningependekeza riwaya hii sana.
Nasoma pia sasa hivi kitabu kingine (kwa sababu napenda kusoma riwaya mbili au tatu wakati huohuo), inaitwa "We Wish to Inform You That Tomorrow We Will Be Killed With Our Families." Ni riwaya maarufu sana kuhusu mauaji ya Rwanda. Mwandishi ni mwandishi habari, na kitabu hiki kinajadili asili za mauaji hayo na historia nyumba ya mauaji, na pia kisa za watu wengi kutoka mauaji. Sehemu nyingi ni ngumu sana kusoma, na nafikiri kitabu kilitoa picha ya kufahamu sana kusaidia kueleza vizuri zaidi mauaji katika Rwanda.
Kuna wowote ambaye umeshasoma "Midnight's Children" au "We Wish to Inform You"? Ulipenda kuisoma? Ningependa kuzijadili sana! Pia, ningependa kusilia mnasoma nini sasa hivi na mngependekeza riwaya yoyote?
Nimefurahia majibu yenu, na tutaonana kesho,
Furaha
Thursday, February 26, 2009
Kwa Kutafuta Faraji
Mambo? Natumaini mnaendelea vizuri. Ningependa tuzungumze kidogo kuhusu wazo la faraja. Kwangu, inaonekana kwamba watu wote wako na jinsi yao ya kutafuta faraja wakati wanaipohitaji, na ningependa kujua jinsi yenu ya kuitafuta. Kwangu, wakati nasikia vibaya ama nahitaji faraja, napenda kuenda kupiga picha, ama kuangalia picha zangu za zamani. Pia, nikisikia vibaya kwa mwili, napenda kuenda kukimbia ama kuenda kwa baisikeli wakati nasikiliza musiki. Nikipigisha moyo wangu, najua nitasikia vizuri zaidi baadaye. Kusafisha chumba changu ni jinsi nyingine ya kupata faraja, kwa sababu siwezi kufikiri vizuri ikiwa naona fujo tu. Pia, napenda kuwapigia marafiki zangu simu ama kuenda kuwaona mkahawani ama nyumbani. Mimi ni mtu wa watu, kwa kweli. Napata mwanga kutoka watu wengine wakati ninaposikia nimezungushiwa na giza mimi. Hii ndio maana marafiki zangu ni muhimu sana: wananisaidia wakati ninapokuwa giza, na mimi najaribu kuwasaidia wakati wanapokuwa giza wao.
Najua lakini kwamba watu wengine hawapendi kuhitaji watu wengine kwa kupata faraja, na wangependelea kutafuta faraja kutoka wao wenyewe. Hawapendi kuhitaji mtu mwengine, labda kwa sababu wanaogopa yule ataondoka siku moja, na watakuwa peke yao. Hawapendi kutegemea na watu wengine.
Sijui ikiwa ningeweza kuendelea bila kutegemea na watu wengine, hata ikiwa ningependa kuijaribu. Na ninyi? Mnategemea na watu wengine, ama mnawapenda tu bila kuwategemea? Ikiwa mnategemea nao, mnafanya nini wakati hawapo? Ikiwa hamtegemea nao, mnafanya nini kwa kutafuta faraji (isipokuwa kuitafuta nao)?
Najua lakini kwamba watu wengine hawapendi kuhitaji watu wengine kwa kupata faraja, na wangependelea kutafuta faraja kutoka wao wenyewe. Hawapendi kuhitaji mtu mwengine, labda kwa sababu wanaogopa yule ataondoka siku moja, na watakuwa peke yao. Hawapendi kutegemea na watu wengine.
Sijui ikiwa ningeweza kuendelea bila kutegemea na watu wengine, hata ikiwa ningependa kuijaribu. Na ninyi? Mnategemea na watu wengine, ama mnawapenda tu bila kuwategemea? Ikiwa mnategemea nao, mnafanya nini wakati hawapo? Ikiwa hamtegemea nao, mnafanya nini kwa kutafuta faraji (isipokuwa kuitafuta nao)?
Saturday, January 24, 2009
Kuhusu Familia Yako
Hamjambo wote! Ningetupendia kuambia kuhusu familia yetu kwa Blog hii. Nitaanza kwa kueleza kuhusu watu katika familia yangu, kazi ya wazazi wangu na ndugu yangu, na vitu vingine muhimu kujua. Ningependa kujua angalau vitu vitatu si kawaida kuhusu kila mtu katika familia yako, ikiwa hii ni sawa. Kwa mfano:
Katika familia yangu, kuna mama (jina lake ni Susan) na baba (jina lake ni Ralph) na ndugu mmoja (jina lake ni Clare). Clare ana umri ishirini na tano. Alienda chuo kikuu cha Stanford pia, lakini alisoma Kiingereza na nimesoma Uhusiano ya Kimataifa. Alifanya kazi mjini ya San Francisco kwa magazeti ya "Wired" na habari ya "Reuters." Siku hizi, Clare anataka kutoka kazi yako na kusafiri kama dunia. Hajui Kiswahili, lakini nilimambia anahitaji kutembelea Afrika ya Mashiriki. Sasa, kuhusu wazazi wangu. Mama na baba yangu walikuwa walimu wa shule ya sekondari. Sasa, wamestaafu lakini kwa miaka ishirini walifanya kazi hii. Niliona kwamba walipofundisha wafunzi kila siku, walirudi nyumbani na walichoka sana. Nafikiri waliwapenda wanafunzi wao, lakini mara kwa mara wazazi wa watoto wao waliumba matatizo mbalimbali, kama kusema mtoto wao alistahili gredi bora zaidi anapofanya kazi mbaya. Kwa hivyo, nafikiri wanafurahia sana kumaliziwa na kazi yao. Siku hizi, babu yangu ana wakati kupanda milima na mama yangu ana wakati kufanya vitu kama "geneology." Wazazi wangu wameishi huko Alaska, mji wa Wasilla bado, lakini mimi na ndugu yangu tunapenda kusoma na kukaa jimboni la California.
Mama Yangu Susan:
1) Anajua Kijerumani
2) Familia yako (na yangu) waliua katika "Holocaust"
3) Ametoka mji wa Brooklyn lakini alienda Alaska alipokuwa na umri ishiniri na mbili.
Baba Yangu Ralph:
1) Alipanda mlima ya "Denali" wakati mbili.
2) Alifundisha darasa la "Njia kupona porini."
3) Alikaa katika Rwanda kwa kiangazi kimoja.
Ndugu Yangu Clare:
1) Anataka kuwa mwandishi ijapokuwa anajua wandishi hawapati pesa nyingi
2) Hataki kuwa na watoto
3) Anataka kupanda mlima ya "Denali" aka "McKinley" kiangazi hiki
Katika familia yangu, kuna mama (jina lake ni Susan) na baba (jina lake ni Ralph) na ndugu mmoja (jina lake ni Clare). Clare ana umri ishirini na tano. Alienda chuo kikuu cha Stanford pia, lakini alisoma Kiingereza na nimesoma Uhusiano ya Kimataifa. Alifanya kazi mjini ya San Francisco kwa magazeti ya "Wired" na habari ya "Reuters." Siku hizi, Clare anataka kutoka kazi yako na kusafiri kama dunia. Hajui Kiswahili, lakini nilimambia anahitaji kutembelea Afrika ya Mashiriki. Sasa, kuhusu wazazi wangu. Mama na baba yangu walikuwa walimu wa shule ya sekondari. Sasa, wamestaafu lakini kwa miaka ishirini walifanya kazi hii. Niliona kwamba walipofundisha wafunzi kila siku, walirudi nyumbani na walichoka sana. Nafikiri waliwapenda wanafunzi wao, lakini mara kwa mara wazazi wa watoto wao waliumba matatizo mbalimbali, kama kusema mtoto wao alistahili gredi bora zaidi anapofanya kazi mbaya. Kwa hivyo, nafikiri wanafurahia sana kumaliziwa na kazi yao. Siku hizi, babu yangu ana wakati kupanda milima na mama yangu ana wakati kufanya vitu kama "geneology." Wazazi wangu wameishi huko Alaska, mji wa Wasilla bado, lakini mimi na ndugu yangu tunapenda kusoma na kukaa jimboni la California.
Mama Yangu Susan:
1) Anajua Kijerumani
2) Familia yako (na yangu) waliua katika "Holocaust"
3) Ametoka mji wa Brooklyn lakini alienda Alaska alipokuwa na umri ishiniri na mbili.
Baba Yangu Ralph:
1) Alipanda mlima ya "Denali" wakati mbili.
2) Alifundisha darasa la "Njia kupona porini."
3) Alikaa katika Rwanda kwa kiangazi kimoja.
Ndugu Yangu Clare:
1) Anataka kuwa mwandishi ijapokuwa anajua wandishi hawapati pesa nyingi
2) Hataki kuwa na watoto
3) Anataka kupanda mlima ya "Denali" aka "McKinley" kiangazi hiki
Monday, January 19, 2009
Hadithi za kuchekesha katika Afrika
Kila wanafunzi katika darasa letu ametembelea Afrika ya mashariki kwa hivyo kila mtu ana hadithi za kuchekesha nafikiri.
Ninaweza kuanza na hadithi moja katika Zimbabwe. Nilienda Zimbabwe kabla ya uchaguzi na niliendesha kati ya Harare na Bulawayo (mji kubwa wa MDC). Kama kawaida pale Afrika, kuna polisi nyingi kando ya barabara na wanazuia kila gari wakati wanafikiri wanaweza kupata pesa au kupata vitu vya upinzani yao. Kwa kivyo nilizuiwa kila wakati niliona polisi kwa sababu mimi si mwafrika na wanajua labda nina pesa na nitalipa. Polisi moja, baada ya kujizuia barabarani, alisema nilihitaji kuwa na leseni ya Zimbabwe kuendesha na itakuwa ada kubwa. Nilisema leseni yangu ilikuwa ya kutosha kuendesha pale na sikuenda kulipa. Halafu alianza kutafuta gari langu wakati nilichungwa na polisi mwengine. Halafu kiongozi cha polisi ambaye alikuwa na bundee kubwa alijaa na alijiona na aliguta, "Wewe ni Peter Crouch!" Nilisema tu, "Mimi si Peter Crouch, jina langu ni Marcus" na alisema "Hapana najua wewe ni Peter Crouch, hamna shida, unaweza kuendelea." Halafu polisi yao walisimama kutafuto na niliondoka bila kulipa.
Baada ya kuondoka Zimbabwe nilijifunza Peter Crouch ni mchezaji maalum wa soka katika Uingereza, na alifanana mimi (labda). Kwa hivyo kiongozi cha polisi alifikiri mimi nilikuwa mchezaji wa soka. Tangu Zimbabwe nimevurugwa na Peter Crouch katika Afrika mara tatu tofauti na kila mara mtu anajiomba kusaini vitu vyao.
Ninaweza kuanza na hadithi moja katika Zimbabwe. Nilienda Zimbabwe kabla ya uchaguzi na niliendesha kati ya Harare na Bulawayo (mji kubwa wa MDC). Kama kawaida pale Afrika, kuna polisi nyingi kando ya barabara na wanazuia kila gari wakati wanafikiri wanaweza kupata pesa au kupata vitu vya upinzani yao. Kwa kivyo nilizuiwa kila wakati niliona polisi kwa sababu mimi si mwafrika na wanajua labda nina pesa na nitalipa. Polisi moja, baada ya kujizuia barabarani, alisema nilihitaji kuwa na leseni ya Zimbabwe kuendesha na itakuwa ada kubwa. Nilisema leseni yangu ilikuwa ya kutosha kuendesha pale na sikuenda kulipa. Halafu alianza kutafuta gari langu wakati nilichungwa na polisi mwengine. Halafu kiongozi cha polisi ambaye alikuwa na bundee kubwa alijaa na alijiona na aliguta, "Wewe ni Peter Crouch!" Nilisema tu, "Mimi si Peter Crouch, jina langu ni Marcus" na alisema "Hapana najua wewe ni Peter Crouch, hamna shida, unaweza kuendelea." Halafu polisi yao walisimama kutafuto na niliondoka bila kulipa.
Baada ya kuondoka Zimbabwe nilijifunza Peter Crouch ni mchezaji maalum wa soka katika Uingereza, na alifanana mimi (labda). Kwa hivyo kiongozi cha polisi alifikiri mimi nilikuwa mchezaji wa soka. Tangu Zimbabwe nimevurugwa na Peter Crouch katika Afrika mara tatu tofauti na kila mara mtu anajiomba kusaini vitu vyao.
Thursday, January 15, 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)