Monday, November 10, 2008
Filamu ambazo mnapenda bora zaidi?
Tutaonana kesho,
Furaha
Sunday, October 26, 2008
Hadithi ya sherehe moja amboa umependa
Ninaweza kuanza na hadithi ya Full Moon on the Quad (FMOTQ) muaka hii kwa sababu tumezumbgumza kuhusu desturi ya sherehe. Nilienda na rafiki moja ya bweni, anaitwa James. Tumeishi pamoja kwa muda miaka miwili sasa na kila muaka kuna kitu kinatusimama wakati tunataka kwenda FMOTQ. Tulianza kunywa bia na pombe ndogo na kuunda shati mbili kucheza "Bingo" wakati tunashiriki FMOTQ. Kucheza tulichora miraba juu ya shati na katika kila mraba tuliandika sifa moja ya wanafunzi wa Stanford. Kwa mfano nilikuwa na mirabab ya kusema "mtu mrefu zaidi ya mimi" na "mtu anakaa katika Branner", sifa kama hizi. Halafu tulibeba kalama kuandika kila mtu juu ya shati yetu.
Rafiki yangu alishinda lakini nimepata Bingo nukta sita baada ya alishinda tu. Ilikuwa jinsi zuri kufurahia sherehe na kuanza muaka wa mwisho wangu wa Stanford.
Baada ya sherehe hii, tulitumia "mouthwash" na tulila vitamini kabla ya kulala kwa sababu hatutaka kuwa mgonjwa. Nimeaibika kidogo kwa sababu nilizumgumza kuhusu mchezo yetu na Stanford Daily na walitumia wadondoo wengi ya mimi, lakini hata kama nimeaikbika kidogo, ninafikiri ilikuwa sherehe zuri na FMOTQ ni sehemu muhimu ya utamaduni ya Stanford.
Thursday, October 9, 2008
Kuhusu Kazi
Mimi, kwa kawaida napenda kazi yangu. Na bahati na penda kazi yangu kwa sababu mimi ni mwanafunzi na kwa hivyo napasa kulipa pesa kufanya kazi! Mara kwa mara, sipendi kazi yangu. Kama naweza kubadili kazi yangu sikuandika insha. Kama naweza, nataka kujenga vitu vya urembo na kuishi kijijini. Nasikitika kidogo kwa sababu nafikiri ni baada ya miaka mingi tu naweza kuifanya.
Zuri
Sunday, May 18, 2008
Chakula unachopenda zaidi
Kwa mimi, nastahiba chakula cha pahali pengine kuliko chakula cha Marekani. Kwa mfano, napendelea vyakula vya Tailandi na Japani sana. Pia napenda vyakula vya Korea na Vietnamu. Kwa bahati njema, naweza kula vyakula hivi hapa pwani magharibi ya Marekani kwa sababu kuna watu wengi waliotoka nchi hizi. Mjini mikahawa inapendwa nami ni Thaiphoon, Fuki Sushi, Zao, Tofu House, Pluto's, The Counter, and Hobee's.
Katika Afrika Mashariki napenda vyakula vengi: hula chapati na mbuzi au chapati na samaki na daima sikumawiki. Pia napenda kula pilau, matoke, na hata ugali. Kwa hakika, matunda ni tamu sana!
Je, mnafikiri nini?
~Maua (Lena)
Monday, May 5, 2008
Upendo's Post
Hamjambo wote! Wikendi hii nilienda katika "campsite" karibu na La Honda pamoja na marafiki wengi kuwa na "counselor retreat" kwa Camp Kesem. "Camp Kesem" ni jina la kambi ambapo ninafanya kazi kila mwaka. Kuna watota mia moja na hamsini na "counselors" (wote ni wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Stanford) sitini ambao wanakuja kambini kwa wiki moja tu kila mwaka. Watoto wote wamekuwa na angalau mzazi mmoja ambaye amekuwa na au ana kansa. Ni wiki muhimu sana kwa watoto na sisi wanafunzi wa chuo pia. Tunakuwa marafiki kwa kweli.
Tangu nilipofika katika Stanford, kambi hii ni kitu ambacho kinapendwa nami zaidi ya shuguli nyingine. Wakati nitaacha kuwa mwanafunzi ya Stanford, nitasikitika sana kwa sababu sitaweza kurudi katika "Camp Kesem."
Na ninyi? Nini ni shuguli kwamba unapenda kufanya bora zaidi nje ya darasa?
Usiku njema na tutaonana kesho!
~Upendo
Friday, April 18, 2008
Sanaa
Zuri
Sunday, April 13, 2008
Meja na Madarasa Mashurutishwa Katika Vyuo Vikuu
Tutaonana kesho,
Furaha
Sunday, April 6, 2008
Makazi ya Wanafunzi
Nimeamua kuanzisha mada ya kwanza katika blogu yetu muhula huu. Katika mada hii, ningependa kujua maoni yenu kuhusu makazi ya wanafunzi. Nina maswali mawaili. Kwanza, unafikiri ni vyema kwa wanafunzi wa shule za upili kukaa katika bweni shuleni kama wanavyofanya wengi huko Afrika Mashariki au kukaa nyumbani pamoja na wazazi wao kama hali ilivyo hapa Marekani? Pili, unadhani ni bora kwa wanafunzi katika vyuo vikuu kukaa katika mabweni ya chuo au kukaa mjini katika nyumba za kukodisha? Kwa nini?.
Monday, March 3, 2008
Likizo Fupi (Kutoka kwa Furaha)
Habari zetu? Ninatumaini kwamba mnakuwa na wikendi nzuri sana. Kwa mada yetu ya blogu, ningependa kujua mtafanya nini kwa likizo yetu ya majira ya kuchipua. Ninajua kwamba tunahitjai kupita mitihani yetu bado, lakini nimeshafurahi sana kuwa na likizo fupi kupumzika kidogo.
Kwa likizo yangu, nitaenda kwa muda wa siku moja pale Napa, kunywa vinyo kidogo na kuona mashamba ya mizabibu mbalimbali na rafiki zangu. Halafu, rafiki zangu nami, tutaendesha mpaka California kusini kwenda safari ya burudani. Safari yetu itaenda kisiwa cha Catalina, ambacho kipo karibu na mji wa Los Angeles kiasi fulani, halafu tutaenda Mexico mpaka mji wa Ensenada. Nimefurahi sana kupumzika, kutembelea Mexico (kwa sababu nilitembelea Mexico mara moja tu), na kustarehe na rafiki zangu.
Je, mtafanya nini kwa likizo zenu?
~Furaha
Sunday, February 24, 2008
Ugonjwa Afrika Mashariki (kutoka kwa Maua)
Nafikiri tatizo kubwa ni kuharisha. Ukosa wa maji safi wanasabibisha
ugonjwa wengi katika Afrika. Ugonjwa wa maji chafu unaua watu 2.2
milioni kila mwaka. Ugonjwa huu unazuilika kwa urahisi. Tatizo
lengine jinalozuiwa kwa urahisi ni kifa wakati wa uzalishi.
Mwanamimba wanahitaji tibu.
Friday, February 15, 2008
Wazo ya Likizo kutoka Cheka
Kwa mimi, ninafikiri ningependa kusafiri kwenda Tanzania tena ambapo nitanunua mandolin na kuendesha mpaka Afrika Kusini. Nitaenda kwa safari hii pale na kaka yangu na labda rafiki mojo au mbili. Itachukua labda mwezi sita au zaidi. Ningependa kwenda katika safari hii kwa sababu ninapenda sana kusarifi na kaka yangu na pia napenda sana Afrika na nataka kusafiri zaidi katika kontinenti huyu.
Mnaenda wapi?
Monday, February 11, 2008
Ugonjwa
Monday, February 4, 2008
Mnataka mwe nini wakati ujao? (kutoka kwa Upendo)
Thursday, January 24, 2008
Uteuzi wa Rais Kenya
Unafikiri nini ni njia bora kwa Kenya kuchukua kunia shida hii, na kwa nini unafikiri wazu huu?
Wednesday, January 16, 2008
Cultural Presentation
Asante, Zuri
Saturday, January 12, 2008
Uteuzi wa Mgombea wa Urais Marekani
Ningependa kusikia maoni yenu kuhusu mada hiyo hapo juu. Kwa wakati huu wanasiasa wengi wa Marekani wanataka kura ili kuchaguliwa kuwa wagombea wa urais wa vyama vyao (Wanademokrasia-Democrats na Wanajamhuri-Republicans). Kwa maoni yako ni nani watateuliwa (will be nominated) na unafikiri ni kwa nini?