Monday, November 10, 2008

Filamu ambazo mnapenda bora zaidi?

Tumeshajadili aina mbalimbali ya fasihi. Lakini, aini tofauti ya sanaa ni filamu. Mimi, sijui sana kuhusu sanaa ya filamu na sanaa ya kupiga picha za sinema, lakini napenda sana kuangalia filamu tofauti tofauti. Je, mnapenda kuangalia aina gani za filamu bora zaidi? Mimi, napenda filamu za kitendo bora zaidi. Kwa hivyo, nimefurahia sana kwa sababu wiki hii, filamu mpya ya James Bond itafungua sinemani. Nimefurahia sana kwa sababu napenda sana filamu zote za James Bond, na pia napenda mchezaji mpya wa James Bond - mchezaji mwiingereza anayeitwa Daniel Craig. Napenda filamu za kitendo kwa kawaida, lakini ni muhimu sana kwangu kuwa kuna ishara ya mapenzi pia. Nitaenda kuangalia filamu hii Alhamisi katika saa sita ya usiku! Je, mnapenda filamu za kitendo pia? Au mnapenda aini tofauti kabisa?

Tutaonana kesho,
Furaha

Sunday, October 26, 2008

Hadithi ya sherehe moja amboa umependa

Kumbuka Mwalimu Mohochi atasoma, lakini labda unaweza kueleza hadithi moja ya kichekesho kuhusu sherehe ya Stanford. Kama hakuna hadithi zuri unaweza kueleza nini unapenda kufanya kusherehekea.

Ninaweza kuanza na hadithi ya Full Moon on the Quad (FMOTQ) muaka hii kwa sababu tumezumbgumza kuhusu desturi ya sherehe. Nilienda na rafiki moja ya bweni, anaitwa James. Tumeishi pamoja kwa muda miaka miwili sasa na kila muaka kuna kitu kinatusimama wakati tunataka kwenda FMOTQ. Tulianza kunywa bia na pombe ndogo na kuunda shati mbili kucheza "Bingo" wakati tunashiriki FMOTQ. Kucheza tulichora miraba juu ya shati na katika kila mraba tuliandika sifa moja ya wanafunzi wa Stanford. Kwa mfano nilikuwa na mirabab ya kusema "mtu mrefu zaidi ya mimi" na "mtu anakaa katika Branner", sifa kama hizi. Halafu tulibeba kalama kuandika kila mtu juu ya shati yetu.

Rafiki yangu alishinda lakini nimepata Bingo nukta sita baada ya alishinda tu. Ilikuwa jinsi zuri kufurahia sherehe na kuanza muaka wa mwisho wangu wa Stanford.

Baada ya sherehe hii, tulitumia "mouthwash" na tulila vitamini kabla ya kulala kwa sababu hatutaka kuwa mgonjwa. Nimeaibika kidogo kwa sababu nilizumgumza kuhusu mchezo yetu na Stanford Daily na walitumia wadondoo wengi ya mimi, lakini hata kama nimeaikbika kidogo, ninafikiri ilikuwa sherehe zuri na FMOTQ ni sehemu muhimu ya utamaduni ya Stanford.

Thursday, October 9, 2008

Kuhusu Kazi

Wiki hii tulizungumzana kuhusu kazi. Watu wengi wanafikiri kazi ni kazi, na maisha kweli inaanza baada ya masaa unapasa kufanya kazi. Watu wengine wanasema ni nzuri kufanya kazi kali kabisa kwa sababu baada ya kazi unapesa nyingi kulipa kusherehekea. Watu wengine wanasema ni muhimu kusherehe kabisa bila kufanya kazi. Pia, kuna watu ambao wanafikiri wakati unafuata kazi unataka kufanya utafurahi kabisa na kwa hivyo pesa si muhimu. Je, unafikiri nini kuhusu kazi yako? Na unafikiri unataka kubadili kazi yako kufanya vitu tofauti au hapana?

Mimi, kwa kawaida napenda kazi yangu. Na bahati na penda kazi yangu kwa sababu mimi ni mwanafunzi na kwa hivyo napasa kulipa pesa kufanya kazi! Mara kwa mara, sipendi kazi yangu. Kama naweza kubadili kazi yangu sikuandika insha. Kama naweza, nataka kujenga vitu vya urembo na kuishi kijijini. Nasikitika kidogo kwa sababu nafikiri ni baada ya miaka mingi tu naweza kuifanya.

Zuri

Sunday, May 18, 2008

Chakula unachopenda zaidi

Ningependa kujua aina ya chakula mnachopenda zaidi. Je, mnapenda chakula cha Marekani au chakula cha nchi nyingine? Mnapenda kula wapi (mkahawa gani?) hapa mji wa Palo Alto? Mnapenda chakula gani cha Afrika Mashariki?

Kwa mimi, nastahiba chakula cha pahali pengine kuliko chakula cha Marekani. Kwa mfano, napendelea vyakula vya Tailandi na Japani sana. Pia napenda vyakula vya Korea na Vietnamu. Kwa bahati njema, naweza kula vyakula hivi hapa pwani magharibi ya Marekani kwa sababu kuna watu wengi waliotoka nchi hizi. Mjini mikahawa inapendwa nami ni Thaiphoon, Fuki Sushi, Zao, Tofu House, Pluto's, The Counter, and Hobee's.

Katika Afrika Mashariki napenda vyakula vengi: hula chapati na mbuzi au chapati na samaki na daima sikumawiki. Pia napenda kula pilau, matoke, na hata ugali. Kwa hakika, matunda ni tamu sana!

Je, mnafikiri nini?

~Maua (Lena)

Monday, May 5, 2008

Upendo's Post

Kitu ambacho unapenda bora kufanya nje ya darasa...

Hamjambo wote! Wikendi hii nilienda katika "campsite" karibu na La Honda pamoja na marafiki wengi kuwa na "counselor retreat" kwa Camp Kesem. "Camp Kesem" ni jina la kambi ambapo ninafanya kazi kila mwaka. Kuna watota mia moja na hamsini na "counselors" (wote ni wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Stanford) sitini ambao wanakuja kambini kwa wiki moja tu kila mwaka. Watoto wote wamekuwa na angalau mzazi mmoja ambaye amekuwa na au ana kansa. Ni wiki muhimu sana kwa watoto na sisi wanafunzi wa chuo pia. Tunakuwa marafiki kwa kweli.

Tangu nilipofika katika Stanford, kambi hii ni kitu ambacho kinapendwa nami zaidi ya shuguli nyingine. Wakati nitaacha kuwa mwanafunzi ya Stanford, nitasikitika sana kwa sababu sitaweza kurudi katika "Camp Kesem."

Na ninyi? Nini ni shuguli kwamba unapenda kufanya bora zaidi nje ya darasa?

Usiku njema na tutaonana kesho!
~Upendo

Friday, April 18, 2008

Sanaa

Wiki hii, nataka kujua aina za sanaa mnapenda kufanya. Pia, ni aina ya sanaa gani mnapenda sana kuona au kusikia? Mimi hupenda kupiga picha za watu na wanyama na dunia. Siwezi kuifanya kila wiki kwa sababu shule ni ngumu, lakini kama unaniona kwa likizo fupi zangu utaona mimi pamoja na kamera yangu. Aina ya sanaa napenda zaidi ni kwenda kuona sinema za kimataifa, na pia napenda kuona picha za wapigapicha wengine.

Zuri

Sunday, April 13, 2008

Meja na Madarasa Mashurutishwa Katika Vyuo Vikuu

Kutokana na mada ya blogu ya Mwalimu kuhusu mahali ya kuishi ya wanafunzi, ningependa kusikia maoni yao kuhusu masomo katika vyuo vikuu, na jinsi ya kuamua meja. Unafikiri wanafunzi wa chuo wanahitaji kuamua meja moja lini? Hapa Stanford, wanafunzi wanahitaji kuamua meja yao kabla ya kumaliza mwaka wa pili. Unafikiri mwaka wa pili ni mapema mno, au sio? Pia, nje ya meja yao, wanafunzi hapa Stanford wanahitaji kusoma madarasa mashurutishwa mbalimbali, kama IHUM, PWR, nk. Unafikiri madarasa mashurutishwa ni muhimu, au sio? Ningependa kusikia maoni yao.

Tutaonana kesho,
Furaha

Sunday, April 6, 2008

Makazi ya Wanafunzi

Habari za leo?

Nimeamua kuanzisha mada ya kwanza katika blogu yetu muhula huu. Katika mada hii, ningependa kujua maoni yenu kuhusu makazi ya wanafunzi. Nina maswali mawaili. Kwanza, unafikiri ni vyema kwa wanafunzi wa shule za upili kukaa katika bweni shuleni kama wanavyofanya wengi huko Afrika Mashariki au kukaa nyumbani pamoja na wazazi wao kama hali ilivyo hapa Marekani? Pili, unadhani ni bora kwa wanafunzi katika vyuo vikuu kukaa katika mabweni ya chuo au kukaa mjini katika nyumba za kukodisha? Kwa nini?.

Monday, March 3, 2008

Likizo Fupi (Kutoka kwa Furaha)

Habari zetu? Ninatumaini kwamba mnakuwa na wikendi nzuri sana. Kwa mada yetu ya blogu, ningependa kujua mtafanya nini kwa likizo yetu ya majira ya kuchipua. Ninajua kwamba tunahitjai kupita mitihani yetu bado, lakini nimeshafurahi sana kuwa na likizo fupi kupumzika kidogo.

Kwa likizo yangu, nitaenda kwa muda wa siku moja pale Napa, kunywa vinyo kidogo na kuona mashamba ya mizabibu mbalimbali na rafiki zangu. Halafu, rafiki zangu nami, tutaendesha mpaka California kusini kwenda safari ya burudani. Safari yetu itaenda kisiwa cha Catalina, ambacho kipo karibu na mji wa Los Angeles kiasi fulani, halafu tutaenda Mexico mpaka mji wa Ensenada. Nimefurahi sana kupumzika, kutembelea Mexico (kwa sababu nilitembelea Mexico mara moja tu), na kustarehe na rafiki zangu.

Je, mtafanya nini kwa likizo zenu?
~Furaha

Sunday, February 24, 2008

Ugonjwa Afrika Mashariki (kutoka kwa Maua)

Je, shida kubwa zaidi ya afya katika Afrika Mashariki ni nini? Ni malaria, kifua kikuu, UKIMWI, or wengine?

Nafikiri tatizo kubwa ni kuharisha. Ukosa wa maji safi wanasabibisha
ugonjwa wengi katika Afrika. Ugonjwa wa maji chafu unaua watu 2.2
milioni kila mwaka. Ugonjwa huu unazuilika kwa urahisi. Tatizo
lengine jinalozuiwa kwa urahisi ni kifa wakati wa uzalishi.
Mwanamimba wanahitaji tibu.

Friday, February 15, 2008

Wazo ya Likizo kutoka Cheka

Kwa kazi katika blogu kwa wiki hii, tunaweza kuandika kuhusu likizo ambalo tungependa kufanya kama utapata pesa nyingi sana kusafiri. Je utaenda wapi? Kwa nini? Kwa muda gani? na kufanya nini?

Kwa mimi, ninafikiri ningependa kusafiri kwenda Tanzania tena ambapo nitanunua mandolin na kuendesha mpaka Afrika Kusini. Nitaenda kwa safari hii pale na kaka yangu na labda rafiki mojo au mbili. Itachukua labda mwezi sita au zaidi. Ningependa kwenda katika safari hii kwa sababu ninapenda sana kusarifi na kaka yangu na pia napenda sana Afrika na nataka kusafiri zaidi katika kontinenti huyu.

Mnaenda wapi?

Monday, February 11, 2008

Ugonjwa

Sijui nini kuzumgumza hapa. Mimi, sijui kwa nini, ni mgonjwa kila siku tuna mtihani wa kiswahili, hata leo. Nilienda wiki iliopita kutembelea daktari kuondoa jino langu (my wisdom tooth) na halafu wikendi uliopita nilianza kuwa mgonjwa mdogo, lakini shida si na meno yangu. Nina kikohozi kibaya sasa. Ni mgumu kusoma na kulala lakini shule haitasimama kwa hivyo si rahisi kuwa mgonjwa. Labda, kwa sababu tunazumgumza ugonjwa katika darasa, ninaweza kuuliza kama ulikuwa mgonjwa wakati umekaa hapa Stanford. Na ulifanya nini? Vaden si nzuri.

Monday, February 4, 2008

Mnataka mwe nini wakati ujao? (kutoka kwa Upendo)

Mnataka mwe nini wakati ujao?Hamjambo wote! Habari za wikendi? Nilifikiria kuhusu ninyi wikendi hii, na nilitanabahi nisijue nini mnataka mwe wakati ujao. Mimi, ningependa kuandika au kuumba sera ya afya kimataifa. Msiulize - sitaki kuwa dakta. Ningependa kuwa mwanasheria ambaye anajua mambo mengi kuhusu sheria ya dunia na ya haki za watu. Kwa hivyo, nilisoma historia mpaka mwaka huu, na sasa, ninasoma elimu jamii (hasa kuhusu siasa linganishi) ili nifahamu hali ya dunia nzima.Na nyi? Mnataka kuwa nini wakati ujao? Na kwa nini?Tutaonana kesho! ~Upendo

Thursday, January 24, 2008

Uteuzi wa Rais Kenya

Pale nchi ya Kenya kuna matatizo kuhusu uteuzi wa rais Kenya. Baada ya uchaguzi watu wawili, Mwai Kibaki na Raila Odinga wanasema yeye mwenyewe ni rais!

Unafikiri nini ni njia bora kwa Kenya kuchukua kunia shida hii, na kwa nini unafikiri wazu huu?

Wednesday, January 16, 2008

Cultural Presentation

Tafadhali andika wazo zao kuhusu Cultural Presentation kabla ya darasa Alhamisi.

Asante, Zuri

Saturday, January 12, 2008

Uteuzi wa Mgombea wa Urais Marekani

Hamjambo?

Ningependa kusikia maoni yenu kuhusu mada hiyo hapo juu. Kwa wakati huu wanasiasa wengi wa Marekani wanataka kura ili kuchaguliwa kuwa wagombea wa urais wa vyama vyao (Wanademokrasia-Democrats na Wanajamhuri-Republicans). Kwa maoni yako ni nani watateuliwa (will be nominated) na unafikiri ni kwa nini?