Baada ya wiki moja tutakuwa na likizo fupi! Kabla ya likiza fupi hii ninapasa kuandika mitihani ya uhandisi na kiswahili. Wakati wa likizo nitafurahi kabisa.
Zuri
Friday, December 7, 2007
Sunday, December 2, 2007
ALA! Kazi!
Ninafikiri kila mwanafunzi wako maktabani leo usiku. Nimeandika insha yangu ya "Explaining Ethnic Violence" kuhusu Malawi kwa muda wa saa kumi leo na nitaanza na kiswahili sasa.
Nilienda kuona chezo kubwa janaa na ilikuwa nzuri kabisa kushinda. Nilikaa kati ya mtu anayokunywa sana wakati walicheza na karibu na mwisho wa mchezo, yeye na mtu wa Cal walipigana mpaka mapolisi walija. Nafikiri wote wawili hawajambo baada ya walipigana. Sikuweza kujanga mwanafunzi wa Cal kwa sababu mtu wa Stanford alilewa kabisa na alikuwa mkali.
Baada ya mchezo nilienda kusherehekea kwa hivyo nilihitaji kufanya kazi leo.
Nilienda kuona chezo kubwa janaa na ilikuwa nzuri kabisa kushinda. Nilikaa kati ya mtu anayokunywa sana wakati walicheza na karibu na mwisho wa mchezo, yeye na mtu wa Cal walipigana mpaka mapolisi walija. Nafikiri wote wawili hawajambo baada ya walipigana. Sikuweza kujanga mwanafunzi wa Cal kwa sababu mtu wa Stanford alilewa kabisa na alikuwa mkali.
Baada ya mchezo nilienda kusherehekea kwa hivyo nilihitaji kufanya kazi leo.
Monday, November 12, 2007
Wikendi iliopita yangu
Nilienda mji wa Philadelphia na timu yangu ya Model UN kuzumgumza mahusiano ya kimataifa na nimefurahi kabisa. Wakati tuliondoka nilikuwana uoga (au wasiwasi) sana kwa sababu mimi ni kiongozi cha timu kwa hivyo nimehitaji kuyakini (to be sure) tulienda na tulikaa hotelini na tulikula na tulirudi bila shida. Nilikuwa na wasiwasi lakini sasa imemaliza na ninaweza kurudi chuoini na kufanya kazi yangu ya nyumbani. Ilikuwa nzuri kabisa na ninafikiri watu wote katika timu ya Model UN wamefurahi.
Thursday, November 8, 2007
cultural presentation
Ninafikiri kwa utoji (presentation) yenu tutazungmza kuhusu mwanafunzi mmoja Mkenya. Mwanafunzi huyu atakuja hapa kwa chuo kikuu cha Stanford na atakuwa na shida kwa sababu kuna mila tofauti ya Kenya. Je, mnafikiri hii ni utoji sawa?
Tuesday, November 6, 2007
HIV/AIDS Screening Process
Hey dudes.
Check this out...we were tlaking in class about the idea of screening for HIV and the only times it is missed in the blood supply (or people getting tested) is when the person give blood right after they have gotten it--before the viral load is high enough at that point.
Well, apparently in Yemen they are giving all blood three types of screenings the Elisa test, Western Blot, and PCR. Do you really think this is cost effective?
Stacie
Check it out:
http://yementimes.com/article.shtml?i=1100&p=health&a=1
Check this out...we were tlaking in class about the idea of screening for HIV and the only times it is missed in the blood supply (or people getting tested) is when the person give blood right after they have gotten it--before the viral load is high enough at that point.
Well, apparently in Yemen they are giving all blood three types of screenings the Elisa test, Western Blot, and PCR. Do you really think this is cost effective?
Stacie
Check it out:
http://yementimes.com/article.shtml?i=1100&p=health&a=1
Mbuzi
Kama unatake kununua mbuzi hapa mji wa Stanford unaweza kwenda mpaka Santa Clara. Pale, katika njia ya El Camino Real kuna biashara inaitwa Taj Mahal Exports. Anwani ya biashara hii ni 3087 El Camino Real, Santa Clara, California 95051. Pia, unaweza kupiga simu yake: (408) 248-5025. Ninapenda kula mbuzi sana.
Wiki yangu ya kazi
(Unaweza kuona kwa sasa nimegundua jinsi kuandika kuhusu blogu yetu)
Ilikuwa wikendi nzuri kabisa na sasa ningeweza kununua bia na kutembelea mabaa kama ningetaka. Wikendi iliopita sikufanya kazi kwa sababu nilihitaji kuwa na kaka yangu wakati alinitembelea na sasa kuna kazi sana kufanya kabla ya Alhamisi. Sijui kama nitaweza kuimaliza kabisa lakini labda kama nina bahati njema.
Alhamisi nitaondoka kutembelea Philadelphia na Timu ya "Model United Nations". Kuandaa nimesoma sana kuhusu Jamuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa sababu nitajadili na wanafunzi wa vyuo vikuu kumi na mbili tofauti kuhusu historia ya nchi hii na Lumumba na Mobutu Sese Seko. Itakuwa mgumu kabisa kwenda kwa sababu nina kazi ya nyumbani sana katika madarasa yangu yote lakini ninafikiri nitafurahi.
Ilikuwa wikendi nzuri kabisa na sasa ningeweza kununua bia na kutembelea mabaa kama ningetaka. Wikendi iliopita sikufanya kazi kwa sababu nilihitaji kuwa na kaka yangu wakati alinitembelea na sasa kuna kazi sana kufanya kabla ya Alhamisi. Sijui kama nitaweza kuimaliza kabisa lakini labda kama nina bahati njema.
Alhamisi nitaondoka kutembelea Philadelphia na Timu ya "Model United Nations". Kuandaa nimesoma sana kuhusu Jamuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa sababu nitajadili na wanafunzi wa vyuo vikuu kumi na mbili tofauti kuhusu historia ya nchi hii na Lumumba na Mobutu Sese Seko. Itakuwa mgumu kabisa kwenda kwa sababu nina kazi ya nyumbani sana katika madarasa yangu yote lakini ninafikiri nitafurahi.
Friday, November 2, 2007
Darasa moja langu la shida
Mimi si mwandishi. Kwa kawaida sipendi kuandika insha, lakini kwa darasa moja langu, sipendi kabisa! Darasa hili ni kuhusu uhandisi na tunapasa kuandika insha kila wiki katika vitu vya uhandisi. Mwalimu wa darasa hili hawezi kufunza yenu nzuri. Anasema tu "andika"! Sasa ninapasa kuandika insha kwa juma tatu lakini sijui jinsi kuandika. Ni shida. Mwalimu huyu anasema insha yangi si nzuri, lakini kila wiki hasemi jinsi kuandika bora.
Monday, October 29, 2007
Mtihani na Vivumishi
Ninafikiri mtihani leo ilikuwa safi sana. Tulitumia Nge, na Msamiati wa wiki ya kwanza, na Vivumishi pia. Nilikuwa na shida kidogo kwa sababu sijui maneno mengi ya vivumishi. Je, mnafikiri kwa msamiati ya wiki hii, tunaweza kuwa na msamiati yote ya maneno ya vivumishi?
Zuri
Zuri
Thursday, October 18, 2007
Wiki hii
Wiki hii, kama kawaida, ninakuwa na kazi nyingi. Nilienda kwa darasa yote ya uhandisi lakini sitajua vitu vyote kuhusu mitihani ya jumatatu. Sipendi kuandika insha kwa sababu sitakuwa msanii lakini ninapasa kuandika insha nyingi wiki hii. Kesho jioni nitasherehekea pamoja na rafiki wangu wa bweni langu. Kwa wikendi hii nitakula mbuzi pamoja na wakenya. Baada ya kula mbuzi ninapasa kumnunua. Sasa nitafanya kazi na halafu nitalala fofofo.
Zuri
Zuri
Friday, April 27, 2007
Minor
Habari zenu...
Ninatumaini kwamba mnakuwa na wikiendi njema!
Ninaomba kujua nani mtafanya minor kwa Kiswahili, au nani mtafikiri kuhusu kufanya minor. Sijui kama nitaweza labda kwa sababu nitahitaji kufanya madarasa maAfrika mengi, lakini ningetaka kujibu kufanya minor...
tutonana wiki ijayo!
kwaherini,
Cheka
Ninatumaini kwamba mnakuwa na wikiendi njema!
Ninaomba kujua nani mtafanya minor kwa Kiswahili, au nani mtafikiri kuhusu kufanya minor. Sijui kama nitaweza labda kwa sababu nitahitaji kufanya madarasa maAfrika mengi, lakini ningetaka kujibu kufanya minor...
tutonana wiki ijayo!
kwaherini,
Cheka
Monday, April 23, 2007
Wikendi
Habari rafiki wa darasa la kiswahili!
Nilikosa darasa Jumatatu na Jumanne kwa sababu nipo katika Palm Springs na familia yangu. Niliweza kutembea rafika yanga anaishi katika LA. Anaitwa 'Michaella' na tuliishi pamoja wakati wa tulikaa kwa Tanzania. Tulizungumza kuhusa Masaai, kikumbuko, na kadhalika. Tunafananana sana. :)
Sasa, ninakaa katika nyumba ya AL CAPONE--jambazi ya 1940s. Alipokuwa jambazi, Al Capone alitembelea hapa kupumzika na mpenzi. Hapa ni pazuri sana.
Tutaonana,
Sesi
Nilikosa darasa Jumatatu na Jumanne kwa sababu nipo katika Palm Springs na familia yangu. Niliweza kutembea rafika yanga anaishi katika LA. Anaitwa 'Michaella' na tuliishi pamoja wakati wa tulikaa kwa Tanzania. Tulizungumza kuhusa Masaai, kikumbuko, na kadhalika. Tunafananana sana. :)
Sasa, ninakaa katika nyumba ya AL CAPONE--jambazi ya 1940s. Alipokuwa jambazi, Al Capone alitembelea hapa kupumzika na mpenzi. Hapa ni pazuri sana.
Tutaonana,
Sesi
Sunday, April 15, 2007
Chuo Changu
Habari zenu? Naamini kuwa mnaendelea vizuri na masomo. Ningependa kusikia maoni yenu kuhusu chuo chenu. Asanteni.
Subscribe to:
Posts (Atom)